Mathayo 20:18 Biblia Habari Njema (BHN)

“Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu, na huko Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na waalimu wa sheria, nao watamhukumu auawe.

Mathayo 20

Mathayo 20:9-20