Mathayo 20:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakasema, ‘Watu hawa walioajiriwa mwisho walifanya kazi kwa muda wa saa moja tu, mbona umetutendea sawa na wao hali sisi tumevumilia kazi ngumu kutwa na jua kali?’

Mathayo 20

Mathayo 20:2-17