Mathayo 18:6 Biblia Habari Njema (BHN)

“Yeyote atakayemkosesha mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungwe shingoni jiwe kubwa la kusagia na kuzamishwa kwenye kilindi cha bahari.

Mathayo 18

Mathayo 18:4-16