Mathayo 18:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnaonaje? Mtu akiwa na kondoo 100, akimpoteza mmoja, hufanyaje? Huwaacha wale tisini na tisa mlimani, akaenda kumtafuta yule aliyepotea.

Mathayo 18

Mathayo 18:9-19