Mathayo 17:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini nawaambieni, Elia amekwisha kuja nao hawakumtambua, bali walimtendea jinsi walivyotaka. Mwana wa Mtu atateswa vivyo hivyo mikononi mwao.”

Mathayo 17

Mathayo 17:2-22