Mathayo 15:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yesu aliwaita wanafunzi wake, akasema, “Nawaonea huruma watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu, wala hawana chakula. Sipendi kuwaacha waende zao bila kula, wasije wakazimia njiani.”

Mathayo 15

Mathayo 15:25-39