Mathayo 14:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, akawaambia watumishi wake, “Mtu huyu ni Yohane Mbatizaji, amefufuka kutoka kwa wafu; ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake.”

Mathayo 14

Mathayo 14:1-4