Mathayo 14:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulipokuwa jioni, wanafunzi wake walimwendea wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, na saa za mchana zimepita. Basi, uwaage watu ili waende vijijini wakajinunulie chakula.”

Mathayo 14

Mathayo 14:14-22