Mathayo 14:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alipopata habari hiyo, aliondoka mahali pale kwa mashua, akaenda mahali pa faragha peke yake. Lakini watu walipata habari, wakamfuata kwa miguu toka mijini.

Mathayo 14

Mathayo 14:11-19