Mathayo 13:52 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye akawaambia, “Hivyo basi, kila mwalimu wa sheria anayekuwa mwanafunzi wa ufalme wa mbinguni anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.”

Mathayo 13

Mathayo 13:51-58