Mathayo 13:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu akawaambia mfano mwingine: “Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyotwaa mama mmoja, akaichanganya na unga madebe mawili na nusu, hata unga wote ukaumuka.”

Mathayo 13

Mathayo 13:27-42