Mathayo 13:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeyote asikiaye neno juu ya ufalme wa Mungu bila kuelewa, ni kama zile mbegu zilizoanguka njiani; yule Mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake.

Mathayo 13

Mathayo 13:13-22