Mathayo 12:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena, asemaye neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa, lakini yule asemaye neno la kumpinga Roho Mtakatifu, hatasamehewa, wala katika ulimwengu huu, wala katika ulimwengu ujao.

Mathayo 12

Mathayo 12:30-35