Mathayo 12:29 Biblia Habari Njema (BHN)

“Au, anawezaje mtu kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyanganya mali yake, bila kwanza kumfunga huyo mtu mwenye nguvu? Hapo ndipo atakapoweza kumnyanganya mali yake.

Mathayo 12

Mathayo 12:23-39