Mathayo 12:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, “Ufalme wowote uliogawanyika makundimakundi yanayopingana, hauwezi kudumu, na mji wowote au jamaa yoyote iliyogawanyika makundimakundi yanayopingana, itaanguka.

Mathayo 12

Mathayo 12:20-28