Mathayo 12:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo watu wakamletea Yesu mtu mmoja kipofu na ambaye alikuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo. Yesu akamponya hata akaweza kusema na kuona.

Mathayo 12

Mathayo 12:17-28