Mathayo 12:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulikuwa na mtu mmoja mwenye mkono uliopooza. Basi, watu wakamwuliza Yesu, “Je, ni halali kumponya mtu siku ya Sabato?” Walimwuliza hivyo wapate kisa cha kumshtaki.

Mathayo 12

Mathayo 12:3-17