Mathayo 11:27 Biblia Habari Njema (BHN)

“Baba yangu amenikabidhi vitu vyote. Hakuna amjuaye Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anapenda kumfunulia.

Mathayo 11

Mathayo 11:17-30