Mathayo 11:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Na wewe Kafarnaumu, je, utajikweza mpaka mbinguni? Utaporomoshwa mpaka kuzimu! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika kule Sodoma, mji huo ungalikuwako mpaka hivi leo.

Mathayo 11

Mathayo 11:15-27