Mathayo 10:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mtu yeyote atakataa kuwakaribisheni au kuwasikilizeni, basi mtokapo katika nyumba hiyo au mji huo, yakunguteni mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao.

Mathayo 10

Mathayo 10:10-24