Matendo 24:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mkuu wa mkoa alimwashiria Paulo aseme. Naye Paulo akasema, “Nafurahi kujitetea mbele yako nikijua kwamba umekuwa hakimu wa taifa hili kwa miaka mingi.

Matendo 24

Matendo 24:9-18