12. Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, “Hii ina maana gani?”
13. Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”
14. Lakini Petro alisimama pamoja na wale kumi na mmoja akaanza kuwahutubia watu kwa sauti kubwa: “Ndugu Wayahudi nanyi nyote mnaokaa hapa Yerusalemu, sikilizeni kwa makini maneno yangu.