Matendo 18:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.

2. Huko Korintho, alimkuta Myahudi mmoja aitwaye Akula, mzaliwa wa Ponto. Akula pamoja na mkewe aitwaye Priskila, walikuwa wamerudi kutoka Italia siku hizohizo kwa sababu Kaisari Klaudio alikuwa ameamuru Wayahudi wote waondoke Roma. Paulo alikwenda kuwaona,

Matendo 18