Marko 9:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Yohane akamwambia, “Mwalimu, tumemwona mtu mmoja akitoa pepo kwa kulitumia jina lako, nasi tukajaribu kumkataza kwa kuwa yeye si mmoja wetu.”

Marko 9

Marko 9:33-42