Marko 8:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza, lakini mtu anayepoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, atayaokoa.

Marko 8

Marko 8:34-36