Marko 8:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alitambua hayo, akawaambia, “Mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate? Je, bado hamjafahamu, wala hamjaelewa? Je, mioyo yenu ni mizito?

Marko 8

Marko 8:10-23