Marko 7:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mafarisayo na waalimu wa sheria wakamwuliza Yesu, “Kwa nini wanafunzi wako hawafuati mapokeo tuliyoyapokea kwa wazee wetu, bali hula chakula kwa mikono najisi?”

Marko 7

Marko 7:2-8