Marko 6:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, huyu si yule seremala, mwana wa Maria, na ndugu yao kina Yakobo, Yose, Yuda na Simoni? Je, dada zake si wanaishi papa hapa kwetu?” Basi, wakawa na mashaka naye.

Marko 6

Marko 6:1-12