Marko 6:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, binti yake Herodia aliingia, akacheza, akawafurahisha sana Herode na wageni wake. Mfalme akamwambia huyo msichana, “Niombe chochote utakacho, nami nitakupa.”

Marko 6

Marko 6:21-31