Marko 5:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alipokuwa bado anaongea, watu walifika kutoka nyumbani kwa yule ofisa wa sunagogi, wakamwambia, “Binti yako amekwisha kufa. Ya nini kuendelea kumsumbua Mwalimu?”

Marko 5

Marko 5:29-43