Marko 4:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alikuwa sehemu ya nyuma ya mashua, amelala juu ya mto. Basi, wanafunzi wakamwamsha na kumwambia, “Mwalimu, je, hujali kwamba sisi tunaangamia?”

Marko 4

Marko 4:32-41