Marko 4:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini wengine ni kama zile mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri. Hawa hulisikia hilo neno, wakalipokea, wakazaa matunda: Wengine thelathini, wengine sitini na wengine mia.”

Marko 4

Marko 4:19-26