Marko 4:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wengine ni kama walio njiani ambapo neno lilipandwa. Lakini mara tu baada ya kulisikia, Shetani huja na kuliondoa neno hilo lililopandwa ndani yao.

Marko 4

Marko 4:14-17