Marko 2:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kumwambia mtu huyu aliyepooza, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kumwambia, ‘Inuka! Chukua mkeka wako utembee?’

Marko 2

Marko 2:3-15