Marko 2:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu akajibu, “Je, walioalikwa harusini hutakiwa kufunga wakati bwana arusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana arusi hawawezi kufunga.

Marko 2

Marko 2:15-24