Marko 2:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipokuwa akipita, akamwona Lawi mwana wa Alfayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Yesu akamwambia, “Nifuate!” Lawi akasimama, akamfuata.

Marko 2

Marko 2:7-19