Marko 15:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu mmoja akakimbia, akaichovya sifongo katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe akisema, “Hebu tuone kama Elia atakuja kumteremsha msalabani!”

Marko 15

Marko 15:28-38