Marko 15:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulipopambazuka, makuhani wakuu walifanya shauri pamoja na wazee, waalimu wa sheria na Baraza lote, wakamfunga Yesu pingu, wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato.

Marko 15

Marko 15:1-2