Marko 14:65 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, baadhi yao wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, wakampiga na kumwambia, “Bashiri ni nani amekupiga!” Hata watumishi wakamchukua, wakampiga makofi.

Marko 14

Marko 14:60-70