Marko 14:61 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini yeye akakaa kimya; hakusema hata neno moja. Kuhani mkuu akamwuliza tena, “Je, wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu Mtukufu?”

Marko 14

Marko 14:59-71