Marko 14:41 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipowajia mara ya tatu aliwaambia, “Mnalala bado na kupumzika? Sasa imetosha! Saa imefika! Mwana wa Mtu anakabidhiwa kwa watu waovu.

Marko 14

Marko 14:40-51