Marko 11:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Makuhani wakuu na waalimu wa sheria waliposikia hayo, walianza kutafuta njia ya kumwangamiza. Lakini walimwogopa kwa sababu umati wa watu ulishangazwa na mafundisho yake.

Marko 11

Marko 11:12-26