Marko 10:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alipoona hivyo, alikasirika akawaambia, “Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana ufalme wa Mungu ni kwa ajili ya watu walio kama watoto hawa.

Marko 10

Marko 10:13-22