Marko 1:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Yohane alikuwa amevaa vazi lililofumwa kwa manyoya ya ngamia, na ukanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.

Marko 1

Marko 1:4-16