Marko 1:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wote wakashangaa, wakaulizana, “Ni mambo gani haya? Je, ni mafundisho mapya? Mtu huyu anayo mamlaka ya kuamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!”

Marko 1

Marko 1:25-34