Malaki 2:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Zaidi ya hayo yote, mnaifunika madhabahu ya Mwenyezi-Mungu kwa machozi yenu, mkilia na kuomboleza kwa sababu yeye hazikubali tena tambiko mnazomtolea.

Malaki 2

Malaki 2:4-17