32. Kweli nawaambieni, kizazi hiki cha sasa hakitapita kabla ya hayo yote kutendeka.
33. Mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
34. “Muwe macho, mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na shughuli za maisha haya. La sivyo, siku ile itawajieni ghafla.