Luka 20:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu hekaluni na kuwahubiria juu ya Habari Njema, makuhani wakuu na waalimu wa sheria pamoja na wazee walifika,

2. wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?”

3. Yesu akawaambia, “Na mimi nitawaulizeni swali:

4. Mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?”

Luka 20