1. Siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu hekaluni na kuwahubiria juu ya Habari Njema, makuhani wakuu na waalimu wa sheria pamoja na wazee walifika,
2. wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?”
3. Yesu akawaambia, “Na mimi nitawaulizeni swali: