Luka 17:36-37 Biblia Habari Njema (BHN)

36. Watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.]

37. Hapo wakamwuliza, “Ni wapi Bwana?” Naye akawaambia, “Palipo mzoga, ndipo tai watakapokusanyikia.”

Luka 17